Datasets:
id string | story_id string | context string | question string | answer string | paragraph_id string |
|---|---|---|---|---|---|
3830_swa_0 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Ni katika nchi ipi kilimo ni muhimu | Kenya | x |
3830_swa_1 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Mifugo hutupa nini | mbolea | x |
3830_swa_2 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Asilia kubwa ya wakenya wanapenda nini | Mahindi | x |
3830_swa_3 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Ni aslimia gani ya vifaa vinavyouzwa sokoni | 80% | x |
3830_swa_4 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Ni vipi kilimo hupunguza usafiri wa watu kutoka vijiini | Kwa vile watu watajipa kazi wenyewe | x |
3830_swa_5 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Kilimo ni muhimu katika nchi gani | Kenya | x |
3830_swa_6 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Mahindi huuzwa wapi | Ng'ambo na nchini | x |
3830_swa_7 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Vipi maisha huweza kuimarishwa kupitia kwa kuku | Kwa kuuza mayai | x |
3830_swa_8 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Kilimo ni muhimu katika nchi gani | Kenya | x |
3830_swa_9 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Ni nini hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi | mifugo | x |
3830_swa_10 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Kilimo cha nafaka gani ni muhimu sana | Mahindi | x |
3830_swa_11 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Asilimia gani ya vifaa vinavyouzwa sokoni ni zao la kilimo | 80 | x |
3830_swa_12 | 3830_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa... | Kwa nini wakulima wazingatie kilimo | Ili waweze kupata chakula | x |
3213_swa_0 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Ni nini maarifa ya sayansi | Tekinolojia | x |
3213_swa_1 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Wanafunzi wanasiliana na nini | E-mail | x |
3213_swa_2 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Tekinolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu zipi | Za ngono | x |
3213_swa_3 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Kwa nini tekinolojia ina hasara kwa wanafunzi | Wanafunzi hupoteza muda wakifanya mambo ya kiupuzi | x |
3213_swa_4 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Walimu wanatumia nini kuwafunza wanafunzi | Mitandao | x |
3213_swa_5 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Nchini wanafunzi wengi wanasoma somo lipi | Kompyuta | x |
3213_swa_6 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Wnafunzi wanaweza kuwasilana kwa kutumia nini | E-mail | x |
3213_swa_7 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Kwa nini wanafunzi wa sekondari huzorotesha masomo yao | Wanapoteza muda mwingi wakifanya mambo ya kiupuzi | x |
3213_swa_8 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Tekinolojia imewezesha wanafunzi kutumia nini | Mitandao | x |
3213_swa_9 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Shule za Sekondari wanafunzi wanafunzwa somo lipi | Kompyuta | x |
3213_swa_10 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Tekinolojia inafanya wanafunzi waangalie filamu za nini | Ngono | x |
3213_swa_11 | 3213_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn... | Kwa nini masomo ya wanafunzi huzorota | Wanafunzi wanatumia muda mwingi mtandaoni wakifanya mambo ya kipuzi | x |
0189_swa_0 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Kilimo ni nini nchini mwetu? | Uti wa mgogo | x |
0189_swa_1 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Kilimo kina umuhimu gani? ? | Hutoa nafasi za kazi Kwa wakuli, watu hupata vyakula | x |
0189_swa_2 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Taja njia za kuimarisha kilimo | Kujenga vituo vya elimisha wakulima kuhusu kilimo, somo la lazima lifanywe lazima ili wakulima wajue njia za kilimo | x |
0189_swa_3 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Kwa nini watu huhamia mjini? | Kutafita kazi | x |
0189_swa_4 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Kilimo kina matatizo gani? | Uvivu wa watu kulima, kutojua mbinu za kisasa za kilimoza kilimo | x |
0189_swa_5 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Ni nini uti wa mgongo wa nchi | Kilimo | x |
0189_swa_6 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Taja neno lingine Sawa na kilimo | Zaraa | x |
0189_swa_7 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Vituo vijengwe kuelimisha nani | Wakulima | x |
0189_swa_8 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Wakulima wapande mimea inayostahili nini | Ukame | x |
0189_swa_9 | 0189_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta... | Kilimo kina matatizo gani? | Wakima kutojua mbinu za kisasa za kilimo | x |
0191_swa_0 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Nani amelaani ufisadi | Musa | x |
0191_swa_1 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Ufisadi wa rushwa husababishwa na nani | wananchi | x |
0191_swa_2 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Wavunja sheria wanapaswa watiwe wapi | mbaroni | x |
0191_swa_3 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Viongozi wakipata misaada huwapatia nani? | watu wake | x |
0191_swa_4 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Mbona askari hupewa hongo | ili asipeleke washtakiwa gerezani | x |
0191_swa_5 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Ufisadi ulianza lini | kitambo sana | x |
0191_swa_6 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Nani amelaani ufisadi katika Biblia | Musa | x |
0191_swa_7 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Ufisadi wa rushwa husababishwa na nani | wananchi | x |
0191_swa_8 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Rwanda imechukua nafsi ya ngapi | hamsini na tano | x |
0191_swa_9 | 0191_swa | NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m... | Mbona madaktari wafisadi wafutwe kazi | ili wafundishwe adhabu | x |
0197_swa_0 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Shirika gani lilifanya uchungu I kuhusu namna ya kukabiliana na ufisadi | Transparency international | x |
0197_swa_1 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Kenya ni taifa nambari ngapi ulimwenguni kupiga a na ufisadi | 145 | x |
0197_swa_2 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Taifa gani limedorora katika Vita dhidi ya ufisadi | Kenya | x |
0197_swa_3 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Taja Aina moja ya ufisadi | Kutoa na kukubabili rushwa | x |
0197_swa_4 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Kwa nini baadhi ya wazazi hutoa rushwa | Ili watoto wao wopzte kazi | x |
0197_swa_5 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Nini huzorotesha uchumi wa nchi? | Ufisadi | x |
0197_swa_6 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Kubagua watu kutokana na rangi yao ni nini? | Ufisadi | x |
0197_swa_7 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Ukabila unapatikana nchi gani? | Kenya | x |
0197_swa_8 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Rwanda inapatikana eneo lipi la Afrika? | Mashariki | x |
0197_swa_9 | 0197_swa | MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi... | Ufisadi husababisha nini nchini? | Kuongezeka kwa viwango vya ufisadi | x |
0225_swa_0 | 0225_swa | KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo... | Kulingana na taarifa waziri mkuu angekuwa na manaibu wangapi | Wawili | 1 |
0225_swa_1 | 0225_swa | KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo... | Kwa nini serikali inapendekeza kubuniwe nafasi za waziri mkuu na manaibu wake | Haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa upinzani waliokumbatia handishake | 2 |
KenSwQuAD: A Question Answering Dataset for Swahili
Dataset Description
KenSwQuAD (Kenyan Swahili Question Answering Dataset) is a reading comprehension and question answering dataset for Swahili, a low-resource African language. The dataset contains 7,506 question-answer pairs derived from 1,441 unique Swahili contexts covering diverse topics including agriculture, education, technology, governance, and daily life in Kenya.
This dataset is designed for training and evaluating extractive question answering models on Swahili text.
Dataset Statistics
| Metric | Count |
|---|---|
| Total QA Pairs | 7,506 |
| Unique Contexts | 1,441 |
| Avg QA Pairs per Context | 5.21 |
| Avg Question Length | 41 characters |
| Avg Answer Length | 14 characters |
| Avg Context Length | 2,702 characters |
Dataset Format
The dataset is distributed as Parquet files for optimal performance and compatibility:
- Format: Apache Parquet (columnar storage)
- Encoding: UTF-8
- Compatibility: Works with
datasets4.0.0+ without custom loading scripts
Data Fields
Each record in the dataset contains:
- id:
string- Unique identifier for the QA pair (format:{story_id}_{qa_index}) - story_id:
string- Identifier for the source context/story (e.g.,3830_swa) - context:
string- The passage/story from which questions are derived - question:
string- The question in Swahili - answer:
string- The answer text - paragraph_id:
string- Optional paragraph/position indicator
Example Record
{
'id': '3830_swa_0',
'story_id': '3830_swa',
'context': 'MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu...',
'question': 'Ni katika nchi ipi kilimo ni muhimu',
'answer': 'Kenya',
'paragraph_id': 'x'
}
Usage
Loading with 🤗 Datasets
Compatible with datasets 4.0.0+ (No trust_remote_code needed!)
from datasets import load_dataset
# Load the dataset
dataset = load_dataset("Kencorpus/KenSwQuAD")
# Access the training split
train = dataset['train']
# View first example
print(train[0])
Example: Training a QA Model
from datasets import load_dataset
from transformers import AutoTokenizer, AutoModelForQuestionAnswering, TrainingArguments, Trainer
# Load dataset
dataset = load_dataset("Kencorpus/KenSwQuAD")
# Load a multilingual model (supports Swahili)
model_name = "xlm-roberta-base"
tokenizer = AutoTokenizer.from_pretrained(model_name)
model = AutoModelForQuestionAnswering.from_pretrained(model_name)
# Tokenize function
def tokenize_function(examples):
return tokenizer(
examples['question'],
examples['context'],
truncation=True,
padding='max_length',
max_length=384
)
# Tokenize dataset
tokenized_dataset = dataset.map(tokenize_function, batched=True)
# Train model (example)
training_args = TrainingArguments(
output_dir="./kenswquad-model",
evaluation_strategy="epoch",
learning_rate=2e-5,
per_device_train_batch_size=16,
num_train_epochs=3,
)
trainer = Trainer(
model=model,
args=training_args,
train_dataset=tokenized_dataset['train'],
)
trainer.train()
Example: Exploring the Data
from datasets import load_dataset
import pandas as pd
# Load dataset
dataset = load_dataset("Kencorpus/KenSwQuAD")
df = pd.DataFrame(dataset['train'])
# Count QA pairs per story
qa_per_story = df.groupby('story_id').size().describe()
print("QA pairs per story distribution:")
print(qa_per_story)
# View sample context
sample = df[df['story_id'] == '3830_swa'].iloc[0]
print(f"\nContext: {sample['context'][:200]}...")
print(f"\nQuestion: {sample['question']}")
print(f"Answer: {sample['answer']}")
Dataset Topics
The contexts cover a wide variety of topics relevant to Kenyan society:
- 🌾 Agriculture & Farming - Crop cultivation, livestock, economic impact
- 🏫 Education - Schools, technology in education, student life
- 💻 Technology - Digital tools, internet, communication
- 🏛️ Governance & Politics - Leadership, government policies, elections
- 💰 Economy & Business - Trade, employment, economic development
- 🏥 Health - COVID-19, medical services, public health
- 🌍 Society & Culture - Daily life, traditions, social issues
Data Collection
The dataset was created by:
- Collecting Swahili texts from various sources (articles, social media, essays)
- Manual annotation of question-answer pairs by native Swahili speakers
- Quality control and validation
Source Contexts:
- 2,585 texts from general sources (
collected_data_text_swa_final_2585_out_of_2585) - 324 texts from Twitter/social media (
collected_data_text_swa_tweets_324_out_of_324)
Intended Uses
Primary Uses
- Training extractive question answering models for Swahili
- Evaluating reading comprehension capabilities
- Transfer learning for low-resource African languages
- Multilingual model evaluation
Out-of-Scope Uses
- Generative question answering (dataset is designed for extractive QA)
- Tasks requiring answers not present in the context
- Languages other than Swahili
Limitations
- Extractive nature: Answers are expected to be spans within the context
- Domain coverage: While diverse, may not cover all Swahili domains
- Answer length: Most answers are short (avg. 14 characters)
- Regional variation: Primarily Kenyan Swahili, may not represent all Swahili dialects
Dataset Curators
- Barack Wanjawa (University of Nairobi)
- Lilian D.A. Wanzare (Maseno University)
- Florence Indede (Maseno University)
- Owen McOnyango (Maseno University)
- Lawrence Muchemi (University of Nairobi)
- Edward Ombui (Africa Nazarene University)
Citation
If you use this dataset in your research, please cite:
@article{wanjawa2022kencorpus,
title={Kencorpus: A Kenyan Language Corpus of Swahili, Dholuo and Luhya for Natural Language Processing Tasks},
author={Wanjawa, Barack W. and Wanzare, Lilian D. and Indede, Florence and McOnyango, Owen and Ombui, Edward and Muchemi, Lawrence},
journal={arXiv preprint arXiv:2208.12081},
year={2022}
}
Links
- Research Paper: https://arxiv.org/abs/2208.12081
- Dataverse: https://dataverse.harvard.edu/dataset.xhtml?persistentId=doi:10.7910/DVN/OTL0LM
- ResearchGate: https://www.researchgate.net/publication/371767223
- Semantic Scholar: https://www.semanticscholar.org/paper/8cf70c5cd8b195ed7a399ea2cdc0b0e8f08c61ce
License
This dataset is licensed under CC-BY-4.0.
Acknowledgments
This dataset is part of the Kencorpus project, which aims to create NLP resources for low-resource Kenyan languages. We thank all annotators and contributors who made this dataset possible.
- Downloads last month
- 171